SUPER STAR'Z WA BONGO

Friday, April 4, 2008

Moto kuwaka BSS leo!

›
Patakuwa hapatoshi leo kwenye ukumbi uliopo ndani hoteli ya Blue Pearl ndani ya jengo la Ubungo Plaza ambapo wakali wa 5 watatupa karata zao...

BSS wakamatishwa Bingo zao!

›
Mshindi wa (BSS) Bongo Star Search 2008,mwanadada Misoji Mkwabi jana alikamatishwa rasmi zawadi zake za ushindi kutoka kwa wadhamimi wa shin...
Sunday, March 23, 2008

XG (GOD NYANI) PRODUCER WA JITA RECORDS

›
Huyu ndiye producer XG anaye fanya maproducer wakongwe wa dar waumize vichwa pia wasanii ma superstars kama Sqeezer na Mansoor kumkubali Eb...
1 comment:
Tuesday, March 18, 2008

Muungano nje ya Tip Top!

›
Katika hali ambayo naweza kuiita ya kushangaza...wale wasanii wawili maswahiba......Mb Dogg na mwenzake Deso, ambao sio siku nyingi zilizop...

Tuzo za vinara wa Filamu kusheheni Mei 2008

›
Baada ya kufana kwa uzinduzi wa Tuzo za Vinara wa filamu Tanzania, na waandaaji wanaalikwa kujaza fomu za ushiriki ili kuweza kuwasilisha ka...
Monday, March 17, 2008

Misifa Uscandinavia!

›
Kama kawaida yake ni yuleyuleee mzee wa Misifa a.k.a Dully Sykes kama anavyojulikana kwasana washabiki wake...na habari zilizoifikia meza ye...

JITA RECORD'S SASA YAWA TISHIO DAR

›
Jita Record's sasa inazidi umiza vichwa baadhi ya wa miliki wa studio kutokana na ubora wa kazi zinazo fanyika hapo pia producer XG a.k....
›
Home
View web version

About Me

My photo
(Victor)Dr.Kelvin
Dar es salaam, Kinondoni, Tanzania
Mimi ni Computer programmer by Profesional,pia mwana blog & Mkurugenzi wa SKY LINK PRODUCTION & JITA RECORD'S zilizopo Sinza Dsm,Pia ni moja ya wasanii wa filum za kibongo walio kuja kasi na kuonesha uwezo mkubwa katika sanaa hiyo mwaka 2010 Tanzania Kifupi napenda kuwa karibisha kwenye blog yangu na kupata habari zangu pia nategemea maoni yenu yenye kujenga pia unaruhusiwa tuma habari na picha za msanii yoyote wa movie ili pia kumtangaza . "www.jitarecods.8k.com"
View my complete profile
Powered by Blogger.