Sunday, December 30, 2007

Heri ya Mwaka mpya

Zahir Ally Zorro anatarajia kufunga pingu za maisha kesho


Kama tulivyoripoti siku chache zilizopita, msanii wa muziki wa kizazi kipya, Banana Zahir Ally Zorro anatarajia kufunga pingu za maisha kesho ndani ya Msasani Beach Club.Anamuoa mchumba wake aitwaye Suzy Walele.
Pichani ni Banana Zorro(kushoto) akiwa na mchumba wake Suzy wakati wa send-off iliyofanyika katika ukumbi wa Sababa uliopo Kilwa Road jijini Dar-es-salaam jioni ya jana. Kila la kheri Banana na Suzy.

Fid Q akitumbuiza


Fid Q akitumbuiza
Msanii wa Bongo Fleva anayeghani tungo tata Fid Q akitumbuiza wakati wa onyesho la Likito Time jana katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Posted: 02:38, Saturday, December 29, 2007 Comments (0) | Add Comment | Link

A Y nae alipagawisha


A Y nae alipagawisha

Msanii Ambwene Yesaya maarufu A Y akipagawisha mashabiki wake wakati wa tamnasha la burudani kwa vijana waliokuwa mashuleni la Likizo Time jana jijini Dar es Salaam.

Posted: 02:47, Saturday, December 29, 2007 Comments (0) | Add Comment | Link

Mastaa wa bongo


Mastaa wa Bongo wakiwa katikpozi