Thursday, December 27, 2007

Z ANTO


Z-Anto
Msanii chipukizi aliyetajwa kufunga mwaka kwa mafanikio makubwa, hasa baada ya kuachia albamu yake yenye jina la Binti Kiziwi, huku nyimbo zake kama Mpenzi jini na huo uliobeba jina la albamu zikifunika ile mbaya

No comments: