Monday, March 17, 2008

JITA RECORD'S SASA YAWA TISHIO DAR


Jita Record's sasa inazidi umiza vichwa baadhi ya wa miliki wa studio kutokana na ubora wa kazi zinazo fanyika hapo pia producer XG a.k.a GOD nyani anazidi umiza pia vichwa vya ma producer wengine baada ya kukamirisha kazi ya msanii mahiri wa mziki wa Hiphop Mansuli

No comments: