Thursday, December 27, 2007

Jokate avutia zaidi?


Napenda nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuniwezesha kuwa hai leo hii na kuendelea na kazi yangu na kwa kukuwezesha wewe kuwa katika hali nzuri kiafya ambayo imekufanya uwe na uwezo wa kusoma safu hii.
Wote tunajua kwamba tupo katika siku mbili tatu za mwisho ili tuumalize mwaka, ni kipindi kigumu, lakini tunafahamu kwamba kama sio kwa mapenzi yake muumba, tusingeweza kuzihesabu siku hizi za mwisho wa mwaka zilizobaki.

Hata hivyo, wengi wetu tunamaliza mwaka huku tukiwa na machungu tele moyoni kutokana na kutenda na wale tuliowapenda na kuwathamini hivyo kwa kutambua hili nimeamua kuwakumbusha dada zangu mambo ambayo yanaweza kuwatoa katika mateso ya mahaba.

No comments: