Thursday, December 27, 2007

kikwete Rais wa Tanzania Shupavu



Leo ni miaka miwili tangu Rais Jakaya Mrisho Kikwete aingie madarakani. Mambo mengi yamefanyika katika kipindi hiki cha miaka miwili, yapo yanayo kubalika na ambayo hayakubaliki na wachache. Pia leo gazeti la Kiswahili la Serikali linatimiza mwaka mmoja gazeti hili ni HabariLEO- www.habarileo.co.tz gazeti hili kuanzishwa kwake ilikuwa ni moja ya sera za chama tawala kuwafikishia habari wananchi wa kawaida. Tuna yepi ya kusema wadau juu ya miaka hii miwili. Uwanja ni wetu hapa.

No comments: