Thursday, December 27, 2007

WAKALI KWANZA


Hiki ni kichwa kigeni kabisa kutoka 'Wakali Kwanza' kilichovumbuliwa na kundi la Wakali Kwanza, anafahamika kama Nimo na wimbo 'Vumilia' ndio umemtambulisha rasmi kwenye ramani ya muziki nchini.

Msanii huyu alianza kuimba tokea alipokuwa anasoma huko nchini Malawi na baada ya kumaliza masomo yake alirudi nchini mwaka 2006 na kujiunga na kundi la Wakali Kwanza ila hakuweza kutoka hapo mwaka jana kutokana na shughuli binafsi zilizokuwa zinamkabili.

"Nilikuwa napenda sana kuimba, na nakumbuka kipindi nilipokuwa nasoma nilikuwa natumia muda wangu mwingi kuimba na niliamini siku moja nitakuja kuwa mkali kama..........

No comments: