Thursday, December 27, 2007

Rais Kikwete


Tarehe 21/12/2007 ilitimia miaka miwili kamili tangu Rais Kikwete aapishwe kuwa Rais wa Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Katika kuzingatia miaka hiyo miwili Rais Kikwete alikutana na wahariri na waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari nchini ambapo alifanya mahojiano nayo.
Ifuatayo ni sehemu ya mwanzo tu wa mahojiano hayo. Unaweza kuyasikiliza mahojiano hayo kwenye tovuti yetu mpya ya http://www.klhnews.com eneo la Podcasts.
Title: KLH News Episode: Mahojiano ya waandishi na Rais Kikwete
http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/eg/2007-12-25T22_31_31-08_00
Enjoy!

No comments: